CCM YAWAHAKIKISHIA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE
Автор: Zaka Tv
Загружено: 2025-10-06
Просмотров: 9
Описание:
ZAKA TV HABARI
📍CCM YAWAHAKIKISHIA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE
Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi ( CCM ), Balozi,Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametamatisha kampeni za kunadi sera za CCM Mkoani Tabora , ambapo amesema endapo Chama hicho kitapewa ridhaa kimedhamiria kuendelea kuwahakikishia usalama na amani watanzania wote.
Nchimbi ameyasema leo Oktoba 06, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Jimbo la Igalula , lililopo Wilayani Uyui ,mkoani Tabora .
" Chama chetu cha Mapinduzi kimedhamiria kulifanya katika miaka mitano ijayo ni kuhakikisha usalama na amani ya Watanzania vinaendelezwa" Nchimbi amesema .
Aidha . Dkt. Nchimbi ameongezea kuwa katika kukabiliana na migogoro ya ardhi kati ya Wakulima na Wafugaji , Serikali ya CCM itaanzisha mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa kuwatenganishia maeneo ya kufanyika shughuli zao ili kuepusha miingiliano .
Akisoma irani ya CCM ya 2025/ 2030 Dkt. Nchimbi ,kufatia maombi ya Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Igalula kupitia CCM ,Juma Mustapha, juu ya ubovu wa barabara katika jimbo hilo , Nchimbi amesema serikali ya CCM itakwenda kujenga barabara za viwango tofauti tofauti eneobhilo ili kurahisisha usafirishaji . #zakatv #tundulissu #ccm #chadema #taifa #tanzania #samiasuluhuhassan #jambotv #geita
Kwa upande wao, baadhi ya wananchi wa Jimbo hilo wameishuru serikali kwa kuwasogezea huduma mbali mbali za kijamii ,huku wakiomba ziwe endelevu kwa wagombea ambao watawapatia ridhaa ya kuongoza nchi .
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: