MAANDALIZI YA RAMADHANI YASHIKA KASI MIONGONI MWA WANAFUNZI UDOM
Автор: MCHOTA ONLINE
Загружено: 2026-02-15
Просмотров: 42
Описание:
Kuelekea Mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) inatarajia kuandaa programu mbalimbali za kiroho, kielimu na kijamii ndani ya mwezi huo mtukufu, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha ibada na mshikamano miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho.
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya hiyo wameeleza kuwa Programu zinatarajiwa kuwepo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ni pamoja na semina za kielimu, mihadhara na futari za pamoja.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: