IAN KAGAME; MTOTO 'MTATA' WA RAIS KAGAME MWENYE MAFUNZO YA KIJESHI, MLINZI MUHIMU WA BABA YAKE
Автор: TimesFMTZ
Загружено: 2024-07-29
Просмотров: 371974
Описание:
Anaitwa lan Kagame, mtoto wa tatu wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Kijana huyu ana miaka 36, ni mwanajeshi aliyehitimu mafunzo yake Chuo cha Kifalme cha Kijeshi kiitwacho ROYAL MILITARY ACADEMY kilichopo Sandburst nchini Uingereza.
Siku za hivi karibuni Ian ametrendi sana kwenye mitandao ya kijamii hasa kwenye uchaguzi baada ya kuonekana akimlinda baba yake. Kilichokuwa kinawavutia wengi pia ni vile anavyotembea ‘kisela’ ndani ya gwanda la kijeshi na ile staili yake ya kusalimia kwa ‘kutoa tano’ kwa watu wake wa karibu.
Ian ni mmoja wa walinzi muhimu wa sasa wa baba yake. Ni mpole, ‘handsome’ lakini awapo kwenye majukumu yake ni mtata ile mbaya.
Kujua mengi kuhusu kijana huyu mfano wa kuigwa kwa watoto wa viongozi, sikiliza video hii.
Cc: Amran Ghoshijambuzi
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: