ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri nne na Farasi wanne)

Автор: Bishop Dr. Fredrick Simon

Загружено: 2022-11-03

Просмотров: 2398

Описание: Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri nne na Farasi wanne) Na. Bishop Dr. Fredrick Simon

KIPINDI CHA DHIKI KUU

Dhiki kuu itagawanyika katika vipindi viwili.

Kipindi cha Kwanza – Miaka 3½
1. MAPIGO YA MUHURI SABA (6:1- 8:5)

i. Muhuri nne na farasi wanne (6:1-8).

Muhuri ya kwanza (6:1,2);
Farasi mweupe, naye aliyempanda ana Uta (Upinde), huonyesha kwamba ni Mpinga Kristo atakayekuja kama mtu wa amani, lakini anaiondoa hata ile amani ndogo iliyokuwepo duniani.

Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kinawataja watu wawili waliopanda farasi weupe (dalili ya amani).
Mtu wa kwanza ana uta wa kuondoa amani, naye huyo ni mpinga Kristo.
Mtu wa pili hana uta, aitwa Mwaminifu na wa Kweli, huyo atakuja ili
auondoe uta, naye huyo ni Yesu Kristo – 19:11-16.

“Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.” Zaburi 46:9.

Muhuri ya Pili (6:3-4): Farasi mwekundu humaanisha vita ndani na nje ya nchi.
“Ninyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado” MATHAYO 24:6.

Muhuri ya Tatu (6:5,6): Farasi mweusi humaanisha njaa kali sana, maana bei ya chakula itapanda mno.

Muhuri ya Nne (6:7,8): Farasi wa kijivujivu humaanisha vifo kwa sababu ya njaa kali, wanyama wakali, maradhi, na kwa upanga EZEKIELI 14:21; ZEKARIA 6:2,3.


#ufunuowayohana #bishop #fredricksimon

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri nne na Farasi wanne)

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Арест военных в Украине / Обращение Киева к Москве

Арест военных в Украине / Обращение Киева к Москве

Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri tatu za mwisho)

Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri tatu za mwisho)

UFUNUO WA YOHANA | MNYAMA WA PILI - Sura ya 13 (Part 2) Na. Bishop Dr. Fredrick Simon

UFUNUO WA YOHANA | MNYAMA WA PILI - Sura ya 13 (Part 2) Na. Bishop Dr. Fredrick Simon

NYIMBO ZA MAOMBI 🙏 | Wimbo wa Kuomba na Kumlilia Mungu (Gospel 2026)

NYIMBO ZA MAOMBI 🙏 | Wimbo wa Kuomba na Kumlilia Mungu (Gospel 2026)

Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)

Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)

DALILI ZA KUNYAKULIWA KWA KANISA | Askofu Dr. Fredrick Simon

DALILI ZA KUNYAKULIWA KWA KANISA | Askofu Dr. Fredrick Simon

Mch Moses Magembe  - KITABU CHA UFUNUO NA KUTIMIA KWAKE

Mch Moses Magembe - KITABU CHA UFUNUO NA KUTIMIA KWAKE

Fafanuzi rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Watakatifu Kipindi Cha Dhiki Kuu (Sura ya 7)

Fafanuzi rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Watakatifu Kipindi Cha Dhiki Kuu (Sura ya 7)

KUSIMAMA KWA AJILI YA UKWELI (Yohana 3:14-15) LESSON 4 Q2

KUSIMAMA KWA AJILI YA UKWELI (Yohana 3:14-15) LESSON 4 Q2

MLIMA MZEITUNI | JERUSALEMU MPAKA GETSEMANE- ZIARA YA ASKOFU ELIBARIKI SUMBE KATIKA TAIFA LA ISRAEL

MLIMA MZEITUNI | JERUSALEMU MPAKA GETSEMANE- ZIARA YA ASKOFU ELIBARIKI SUMBE KATIKA TAIFA LA ISRAEL

Utata Kuhusiana na Uungu wa Yesu Watatuliwa | Na  Askofu Dr.  Fredrick Simon

Utata Kuhusiana na Uungu wa Yesu Watatuliwa | Na Askofu Dr. Fredrick Simon

MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA

MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA

DHIKI KUU NA KURUDI KWA YESU DUNIANI MARA YA PILI/MATUKIO  YA SASA HIVI NI  DALILI ZA SIKU ZA MWISHO

DHIKI KUU NA KURUDI KWA YESU DUNIANI MARA YA PILI/MATUKIO YA SASA HIVI NI DALILI ZA SIKU ZA MWISHO

UFUNUO WA YOHANA - Sura Ya 13 - MNYAMA WA KWANZA (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)

UFUNUO WA YOHANA - Sura Ya 13 - MNYAMA WA KWANZA (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)

Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Sura ya 10 (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)

Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Sura ya 10 (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)

😳Epuka Kosa hili; Kama Unataka Kupokea Majibu ya Maombi Yako 🙏 Pastor Ulenje | Moyo wa Maombi.

😳Epuka Kosa hili; Kama Unataka Kupokea Majibu ya Maombi Yako 🙏 Pastor Ulenje | Moyo wa Maombi.

Mch Moses Magembe -KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA KANISA

Mch Moses Magembe -KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA KANISA

sabato ya mungu ipo???

sabato ya mungu ipo???

MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

Maana ya Jina lako katika ulimwengu wa Roho. Mwl.Bryan #identityinchrist #name

Maana ya Jina lako katika ulimwengu wa Roho. Mwl.Bryan #identityinchrist #name

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]