TATIZO LA MCHWA NA UDUMAVU WA MITI LAPATIWA UFUMBUZI
Автор: Mazingira TV
Загружено: 2022-07-15
Просмотров: 1394
Описание:
Wananchi mkoani Rukwa wathibitisha kupatiwa njia za asili za kupambana na mchwa na kudumaa kwa miti na Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Maliasili, unatekelezwa na LEAT kwa kushirikiana na RUSUDEO chini ya ufadhili wa USAID.
Imethibitika kuwa miti mingi iliyopandwa pasipo kuzingatia namna ya uchimbaji wa mashimo, matumizi ya majivu na katani, na mbolea ya samadi imedumaa ukilinganisha na miti ya mwaka mmoja iliyopandwa kwa kuzingatia elimu ya upandaji waliyopewa.
Mradi huu umekuwa ukishirikiana na taasisi ya vijana FECEE katika uzalishaji wa miche ya miti na utoaji wa elimu ya upandaji miti kwa jamii katika vijiji 18 vya mradi huu.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: