PUMZIKA KWA AMANI HAYATI MAURUS LIBABA, ASKOFU WA KWANZA WA JIMBO KATOLIKI LINDI
Автор: Radio Maria Tanzania
Загружено: 2026-03-02
Просмотров: 1334
Описание:
Tarehe 03 Machi ya kila mwaka ni kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa Askofu wa kwanza wa Jimbo katoliki Lindi, Hayati Maurus Maurus Libaba, ambaye aliitwa na Mungu Machi 03, 1988 ambapo mwaka huu 2026 ni miaka 38 imetimia.
kufahamu mengi zaidi karibu utazame na kufuatilia makala hii fupi ambayo imeelezea kwa uchache historia ya Hayati Askofu Libaba, ikiwemo kuzaliwa, utume mpaka kifo chacke.
Raha ya Milele Umpe ee Bwana na Mwangwa wa Milele umuangazie, Mhashamu Maurus Libaba Apumzike kwa amani Amina.
Radio Maria Tanzania
S.L.P 34573,
Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
Barua pepe: [email protected]
Wavuti: www.radiomaria.co.tz
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: Radio Maria Tanzania
Facebook Link: / radiomaria.tanzania
Instagram: Radio Maria Tanzania
Instagram Link: / radiomariatanzania
Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: