HATUTAVUMILIA MADEREVA WALEVI
Автор: Tulilumwi tv
Загружено: 2025-12-31
Просмотров: 54
Описание:
Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Tanga limesema halitawavumilia madereva wanaotumia kilevi wakati wakiendesha vyombo vya moto na wote waendeshe vyombo kwa kufuata sheria za usalama barabarani.
Akizungumza na madereva pamoja na wananchi katika stendi ya Ngamiani jijini Tanga Mrakibu mwandamizi Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Tanga (RTO) Will Mwamasika amesema kuelekea sikukuu ya mwaka mpya jeshi limejipanga kufanyadoria kila barabara kuhakikisha wanawachukulia hatua kwa madereva wanaovunja sheria za
usalama barabarani kwa makusudi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: