PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!
Автор: Global TV Online
Загружено: 2022-02-04
Просмотров: 55520
Описание:
PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!
Hii ni sehemu ya pili ya stori ya kusisimu ya rubani mstaafu wa Air Tanzania, Mzee Galway Galway, aliyezaliwa mwaka 1950, kijijini kabisa mkoani Manyara, kipindi hicho uliitwa Mkoa wa Arusha, akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji. Alienda peku peku shuleni, lengo lake likiwa kuwa rubani tu, wakati watoto wengi walikataa shule na kulilia kwenda kuchunga ng'ombe na mbuzi.
Hapa anasimulia jinsi ndege ya ATC, Boeing 737, aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa angani na vijana wa Kitanzania wakitaka wapelekwe nchini Uingereza. Unajua nini kilichotokea?... fuatilia....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: