#TBC
Автор: TBConline
Загружено: 2025-06-17
Просмотров: 2958
Описание:
Toleo hili la kipindi hiki cha Wekeza Tanzania kinakukutanisha na mradi kabambe wa kiwanda cha mafuta ya kupikia kilichopo mkoani Singida ambacho kinatajwa kuwa sehemu ya mwarobaini wa changamoto ya mafuta ya kupikia nchini.
Mradi huu umesajiliwa na Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), karibu ushuhudie maendeleo ya uwekezaji katika sekta hii ya mafuta ya kupikia ambayo kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikilazimika kutumia mabilioni ya shilingi kuagiza mafuta ya kupikia nje ya nchi.
Wekeza Tanzania ni kila Jumanne saa 12:00 jioni TBC1 na marudio yake ni Jumatano 7:30 mchana na kwenye chaneli yetu ya YouTube ya TBCONLINE.
Mtangazaji: Asheri Thomas
Mwongozaji: Neligwa Mugittu
Mdhamini: Azania Benki
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: