"Siko tayari kuzikwa" maiti yaleta kioja
Автор: KTN News Kenya
Загружено: 2013-10-12
Просмотров: 705674
Описание:
Wakaazi wa mtaa wa kwanza wa Mathare Kaskazini walishuhudia kioja pale maiti ilidinda kusafirishwa jana usiku hadi eneo la Kendu Bay kwenye kaunti ya Homabay. Maiti ya mwenda zake Peter Otieno ilisafirishwa baadaye leo alasiri mishale ya saa tisa kasorobo baada ya jamaa zake wa karibu kufanya mila na desturi ya jamii ya waluo ambapo maiti ilibembelezwa na kubadilisha mwili wa marehemu kwenye jeneza ili kichwa kilalie upande wa nyuma wa jeneza.
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: