Ngumi za Msukuma na mwekezaji zawaacha hoi Lilian na Njama studioni
Автор: DW Kiswahili
Загружено: 2026-01-26
Просмотров: 3920
Описание: Watangazaji Lilian Mtono na Saumu walishindwa kujizuwia wakati wakijadili kibonzo cha Said Michael kuhusu tukio la Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma 'kuzichapa' na mwekezaji aliyetambuliwa kwa jina la Rashid Kwanzibwa siku ya Jumapili, baada ya wawili hao kushindwa kuelewana juu ya madai yanayomkabili mwekezaji huyo. Hebu watazame wanapovunjika mbavu
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: