Nelson Marwa na gavana Joho watofautiana
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2017-01-11
Просмотров: 35812
Описание:
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Nelson Marwa amesema kuwa sharti maafisa wa trafiki wa kaunti ya Mombasa waondoke kwenye barabara za mji huo.
Marwa amesema kuwa kuwepo kwa maafisa hao wa kaunti katika barabara hizo kunahujumu kazi ya maafisa wa trafiki. Haya yanajiri huku gavana wa mombasa hassan Ali Joho akimkashifu marwa na kumlaumu kwa utumizi mbaya wa mamlaka. Steven Letoo na tarifa hiyo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
http://citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
https://plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: