Ilivyokuwa Mahakamani katika kesi Lema na watuhumiwa 61 wa ugaidi
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2018-02-13
Просмотров: 5359
Описание:
Kesi ya watuhumiwa wa ugaidi Arusha imeshindwa kuendelea kutokana na upelelezi wa kesi kutokukamilika na kuahirishwa hadi February 27 mwaka huu ambapo itakuja kutajwa tena
Wakati huo huo Mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema amekata Rufaa akidai Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi yake kushindwa kusimamia mwenendo wa kesi nakupinga kitendo cha Hakimu kuendelea kusikiliza kesi hiyo ili hali wameshakata Rufaa yakutotaka kuendelea naye ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi june 15 mwaka huu
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: