#TAZAMA
Автор: Daily News Digital
Загружено: 2021-10-14
Просмотров: 755
Описание:
KATIKA kuadhimisha miaka 22 ya kifo cha baba wa taifa hayati mwalimu julius kambarage nyerere mwanasiasa mkonwge na mkurugenzi wa taasisi ya mwalimu nyererere mzee joseph butiku amewataka watanzania kufuata misingi ya mwalimu ikiwemo kuzingatia utawala bora umoja usawa wa kitaifa na amani kwa maendeleo ya taifa.
hayo yamesemwa jijini dodoma na mwanasiasa huyo mkongwe katika kongamano la kitaifa la la kumbukizi ya kifo cha hayati mwalimu julius kambarage nyerere aliyefariki october 14 1999 london nchini uingereza alikokwenda kwa matibabu na mwili wake kuzikwa butiama mkoani mara.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: