HASARA YA BIL 2, YAMPELEKA GEREZANI KISENA WA UDART NA WENZAKE
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2019-02-11
Просмотров: 7101
Описание:
Mkurugenzi wa UDART, Robert Kisena(46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji fedha wa Mil.603 na kuisababishia hasara UDART ya Bil.2.41.
Mbali ya Kisena, washitakiwa wengine ni Kulwa Kisena(33), Charles Newe(47) na Cheni Shi (32).
Katika makosa hayo, moja ni kuongoza uhalifu, kujenga kituo cha mafuta bila kibali, kuuza mafuta sehemu zisizoruhusiwa, wizi wakiwa Wakurugenzi, utakatishaji fedha manne, kughushi manne, kutoa nyaraka za uongo manne, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu mawili na kuisababishia mamlaka hasara moja.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: