ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

ASKOFU WA KKAM KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI ASIMAMISHWA KAZI, SABABU NI HIZI....

Автор: WATETEZI TV

Загружено: 2025-09-19

Просмотров: 1180

Описание: Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) amemsimamisha kazi Askofu wa Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, Dk. Edward Mwaikali, kuanzia Septemba 17, 2025, hadi pale Halmashauri Kuu ya Kanisa hilo itakapokaa na kujadili suala hilo.

Taarifa hiyo imetolewa kupitia barua ya Katibu Mkuu wa KKAM yenye kumbukumbu namba KKAM/MSH0109/25 ya tarehe 17/09/2025, ikieleza kuwa Askofu Mwaikali hataruhusiwa kutoa huduma yoyote ya kiaskofu ndani ya kanisa hilo. Sababu zilizotolewa ni pamoja na kushindwa kutekeleza majukumu kwa kufuata sheria na kanuni za kikatiba za KKAM, jambo lililosababisha uvunjifu wa amani ndani ya kanisa na kukiuka pia sheria za nchi.

Akizungumza na waandishi wa habari, Askofu Msaidizi wa Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, Nyibuko Mwambola, amethibitisha kupokea barua hiyo kutoka kwa Katibu Mkuu, na kuongeza kuwa Kamati Kuu tayari imekutana kujadili maelekezo yaliyomo.

Hata hivyo, katika hatua nyingine, baadhi ya wachungaji na waumini wa Parishi ya Ruanda wamezungumzia maamuzi hayo. Wakati huo huo, Askofu Dk. Mwaikali ameeleza kuwa hajapokea rasmi barua yoyote kutoka kwa uongozi wa juu wa kanisa, akisisitiza kuwa yeye ndiye aliyehusika katika kuanzisha KKAM.

Ikumbukwe kuwa Dk. Mwaikali pamoja na msaidizi wake, Askofu Nyibuko Mwambola, walisimama na waumini kadhaa kujitoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuanzisha KKAM. Hatua hiyo ilitokana na mgogoro wa ndani kuhusu uhamisho wa makao makuu ya Dayosisi kutoka mjini Tukuyu kwenda Usharika wa Ruanda, Jimbo la Magharibi

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
ASKOFU WA KKAM KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI ASIMAMISHWA KAZI, SABABU NI HIZI....

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Askofu Mkuu Wa Kanisa la KKAM Amtaka Dkt Mwaikali Kurudisha Nyaraka Kanisa

Askofu Mkuu Wa Kanisa la KKAM Amtaka Dkt Mwaikali Kurudisha Nyaraka Kanisa

PEPO ZA KIHISTORIA WILAYANI NYASA KUTOKA MKOA WA RUVUMA

PEPO ZA KIHISTORIA WILAYANI NYASA KUTOKA MKOA WA RUVUMA

Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde

Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde

Wachungaji na Waumini KKAM Watema Nyongo Baada Dkt Mwaikali Kusimamishwa Kutoa Huduma

Wachungaji na Waumini KKAM Watema Nyongo Baada Dkt Mwaikali Kusimamishwa Kutoa Huduma

Mtumishi Zera Ndambo arudi KKKT toka KKAM na kurudishiwa huduma ya Kichungaji

Mtumishi Zera Ndambo arudi KKKT toka KKAM na kurudishiwa huduma ya Kichungaji

AMKA NA BBC SWAHILI LEO 14/01/2026 JUMATANO ASUBUHI, BBC SWAHILI LEO

AMKA NA BBC SWAHILI LEO 14/01/2026 JUMATANO ASUBUHI, BBC SWAHILI LEO

Mwakabana ang'aka wanalalama KKAM kutumia vitabu vyao, Mwambola Makamu Askofu KKAM.

Mwakabana ang'aka wanalalama KKAM kutumia vitabu vyao, Mwambola Makamu Askofu KKAM.

Kesi za wabunge wa ACT zaendelea mahakamani | GUMZO UPDATES

Kesi za wabunge wa ACT zaendelea mahakamani | GUMZO UPDATES

Waumini Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) Wakataa Kuachia Majengo ya KKKT

Waumini Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) Wakataa Kuachia Majengo ya KKKT

Askofu Dkt Mwaikali aongoza ibada kwa kishindo Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki(KKAM)

Askofu Dkt Mwaikali aongoza ibada kwa kishindo Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki(KKAM)

MCHUNGAJI WA KANISA LA KKAM LILILOVUNJWA AFUNGUKA MWANZO MWISHO KILICHOTOKEA

MCHUNGAJI WA KANISA LA KKAM LILILOVUNJWA AFUNGUKA MWANZO MWISHO KILICHOTOKEA

Askofu  Mwaikali na wafuasi wake Wajitenga  rasmi KKKT Dayosisi  ya Konde wajiunga  na Lutheran E.A

Askofu Mwaikali na wafuasi wake Wajitenga rasmi KKKT Dayosisi ya Konde wajiunga na Lutheran E.A

KUMEKUCHA: MSAIDIZI WA ASKOFU KKAM DKT NYIBUKO MWAMBOLA  AMETANGAZA KUJIUZULU NAFASI YAKE

KUMEKUCHA: MSAIDIZI WA ASKOFU KKAM DKT NYIBUKO MWAMBOLA AMETANGAZA KUJIUZULU NAFASI YAKE

WAUMINI WA KKKT HAI WATIMKIA  KANISA LA KILUTHERI ARIKA MASHARIKI KKAM WAELEZA SABABU YA KUHAMA.

WAUMINI WA KKKT HAI WATIMKIA KANISA LA KILUTHERI ARIKA MASHARIKI KKAM WAELEZA SABABU YA KUHAMA.

MGOGORO MKUBWA WAIBUKA KKKT FOREST MBEYA | VIONGOZI WANNE WA KWAYA KUU WASIMAMISHWA, GARI LIKITAJWA

MGOGORO MKUBWA WAIBUKA KKKT FOREST MBEYA | VIONGOZI WANNE WA KWAYA KUU WASIMAMISHWA, GARI LIKITAJWA

ASKOFU MWAMBOLA AREJESHEWA JOHO LAKE NA KURUDISHWA KAZINI BAADA YA MGOGORO KUMALIZIKA..

ASKOFU MWAMBOLA AREJESHEWA JOHO LAKE NA KURUDISHWA KAZINI BAADA YA MGOGORO KUMALIZIKA..

JAJI MKUU ACHOMOA BETRI MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU WAKUU WA MIKOA NA WILAYA

JAJI MKUU ACHOMOA BETRI MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU WAKUU WA MIKOA NA WILAYA

Wachungaji wawili toka KKAM warejea  KKKT Dayosisi ya Konde  nakupokelewa Usharika wa Kyela

Wachungaji wawili toka KKAM warejea KKKT Dayosisi ya Konde nakupokelewa Usharika wa Kyela

HECHE предотвращает заключение LISSU под стражу и получает выгоду от заключения LISSU под стражу.

HECHE предотвращает заключение LISSU под стражу и получает выгоду от заключения LISSU под стражу.

Hafiz Bugari: Ovo je dobro osmišljen besmisao, zato je kriza u svijetu! Fali nam misija

Hafiz Bugari: Ovo je dobro osmišljen besmisao, zato je kriza u svijetu! Fali nam misija

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]