BALAA! MASOMO YATATIZIKA TANZANIA! SHULE YAKOSA MADAWATI
Автор: Mwanzo TV Plus
Загружено: 2026-02-19
Просмотров: 165
Описание:
Serikali mkoani Mwanza inakusudia kutatua changamoto ya uhaba wa madawati unaokadiriwa kufikia 61, 808 ili kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa shule za awali na msingi.
Habari na Mariam John, Mwanza.
Hii ni shule ya msingi Nyasubi iliyopo kata ya Mkolani Jijini Mwanza….upsound…
shule hii ina jumla ya wanafunzi 1,678
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE Youtube Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: