ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

LUGOLA ASKARI ATAKAYESHIKWA NDEVU NA JAMBAZI KUKIONA

Автор: GSengo

Загружено: 2018-11-23

Просмотров: 44143

Описание: GSENGOtV
Ziara ya Waziri Kangi Lugola jijini hapa imekuja mara baada ya tukio kubwa la kusisimua lililotokea hivi karibuni baada ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kufanikiwa kuanza kuvunja mtandao wa majambazi ambapo mara baada ya kuzuka majibizano ya silaha za moto kwa zaidi ya muda wa dakika 45, polisi walifanikiwa kuwauwa zaidi ya majambazi 7 wanaosadikika kuhusishwa na matukio kadhaa ya uhalifu Kanda ya Ziwa.
Akizungumza na maofisa wa polisi na baadhi ya askari wa vikosi vyote vya polisi jijini hapa leo Ijumaa Novemba 23,2018 katika viwanja vya polisi Mabatini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema askari wote walioshiriki katika mapambano na kufanikisha zoezi hilo lililotokea Novemba 15, 2018 jijini Mwanza watapandishwa vyeo.
"Kwenye sheria yetu ya Jeshi la polisi na polisi wasaidizi sura ya 322, ukienda kwenye makosa ya kinidhamu ya askari, Ni kosa kwa askari kuwa mwoga, 'askari hupaswi kukimbia tukio' lazima ukabiloane nalo" Naomba nikuhakikishie Kamanda Shanna, kwa wale vijana wote waliofanya kazi kubwa kwenye tukio la juzi kukabiliana na majambazi, mimi kama Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi kwa amri ya Serikali tutawapa zawadi ya kuwapandisha vyeo"
Lugola ametumia fursa hiyo kuwahakikishia wananchi kuwa wapo salama na kuwatumia salamu wanaofanya uhalifu kwamba bora wajisalimishe na kuacha mara moja vitendo hivyo vinginevyo watashughulikiwa popote watakapokuwa hata kama ni mapangoni maana Serikali ina mkono mrefu.

Awali, Kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shana amesema mkoa huo upo shwari licha ya kuwapo matukio kadhaa ya wahalifu lakini wamekuwa wakiwadhibiti kabla ya kutekeleza azma yao.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
LUGOLA   ASKARI ATAKAYESHIKWA NDEVU NA JAMBAZI KUKIONA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

BALAA! 'Saa 12 IGP  Sirro ahakikishe anakuja na huyo Mbwa'-Waziri Kangi Lugola

BALAA! 'Saa 12 IGP Sirro ahakikishe anakuja na huyo Mbwa'-Waziri Kangi Lugola

LUGOLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA KITUO CHA POLISI

LUGOLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA KITUO CHA POLISI

🛑LIVE: WAAMUZI WALIOHARIBU KWENYE DABI WAPIGWA STOP | DUCHU MWALIMU WASHISHIWA RUNGU NA TFF

🛑LIVE: WAAMUZI WALIOHARIBU KWENYE DABI WAPIGWA STOP | DUCHU MWALIMU WASHISHIWA RUNGU NA TFF

Askari Polisi kulawiti Watuhumiwa, Kangi Lugola afanya uamuzi huu, ashitukiza Sitakishari

Askari Polisi kulawiti Watuhumiwa, Kangi Lugola afanya uamuzi huu, ashitukiza Sitakishari

ZWYCIĘSKI RYKOSZET W 94. MINUCIE! REAL WYGRYWA W VIGO! CELTA - REAL MADRYT, SKRÓT MECZU

ZWYCIĘSKI RYKOSZET W 94. MINUCIE! REAL WYGRYWA W VIGO! CELTA - REAL MADRYT, SKRÓT MECZU

Kamanda Shana aanza na 'matapeli wa Dollar' bandia

Kamanda Shana aanza na 'matapeli wa Dollar' bandia

Msikilize Kamanda Shana akisifia kazi aliyofanya Mwanza

Msikilize Kamanda Shana akisifia kazi aliyofanya Mwanza

⚡Теперь ВСЁ ЯСНО, об атаке ИРАНА НА АЗЕРБАЙДЖАН! ЮНУС разложил всё по полочкам. Вот что НЕСЁТСЯ

⚡Теперь ВСЁ ЯСНО, об атаке ИРАНА НА АЗЕРБАЙДЖАН! ЮНУС разложил всё по полочкам. Вот что НЕСЁТСЯ

Ładowarka kopalniana ŁK-1 od 18 lat stała nieużywana na kopalni ! Czy daliśmy radę ją uruchomić ???

Ładowarka kopalniana ŁK-1 od 18 lat stała nieużywana na kopalni ! Czy daliśmy radę ją uruchomić ???

"Kiukweli Hakuna Mbwa Aliyepotea, Ni Upotoshaji" - POLISI

RAIS SAMIA USO KWA USO NA FATHER KITIMA MSIBANI KWA MWADHAMA PENGO, ATOA NENO, AWATANIA CHADEMA

RAIS SAMIA USO KWA USO NA FATHER KITIMA MSIBANI KWA MWADHAMA PENGO, ATOA NENO, AWATANIA CHADEMA

«Тут техніки стояло стільки, що я не знаю, чого вони так тікали». Як  відвойовують позиції в росіян

«Тут техніки стояло стільки, що я не знаю, чого вони так тікали». Як відвойовують позиції в росіян

CHEKI HII YA WAZIRI LUGOLA AKIMTIMUA KAMISHINA WA MAGEREZA KIKAONI

CHEKI HII YA WAZIRI LUGOLA AKIMTIMUA KAMISHINA WA MAGEREZA KIKAONI

Waziri Lugola awaonya askari 'Ole wake askari atayeongozwa na njaa zake'

Waziri Lugola awaonya askari 'Ole wake askari atayeongozwa na njaa zake'

JPM alivyofika kwenye Msiba wa Mke wa Naibu Waziri Kangi Lugola

JPM alivyofika kwenye Msiba wa Mke wa Naibu Waziri Kangi Lugola

Вознесенск-Приднестровье: был план отрезать весь юг Украины | Крым.Реалии

Вознесенск-Приднестровье: был план отрезать весь юг Украины | Крым.Реалии

MZEE ALIYEMPA JOGOO HAYATI JPM, ATUA NA JOGOO BUNGENI AMPATIA BASHUNGWA

MZEE ALIYEMPA JOGOO HAYATI JPM, ATUA NA JOGOO BUNGENI AMPATIA BASHUNGWA "LILE TENDO NI LA UJASIRI"

Владимир Жириновский дал прогноз по ситуации с Ираном

Владимир Жириновский дал прогноз по ситуации с Ираном

SASA MWANZA IMEFUNGUKA DARAJA NA BARABARA YA MABATINI INAPITIKA UJENZI WAFIKIA ASILIMIA 93

SASA MWANZA IMEFUNGUKA DARAJA NA BARABARA YA MABATINI INAPITIKA UJENZI WAFIKIA ASILIMIA 93

LIVE 🔴: President Museveni attends the 25th Ordinary Summit of East African Community Heads of State

LIVE 🔴: President Museveni attends the 25th Ordinary Summit of East African Community Heads of State

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]