Mwanzo mwisho SAKATA la KIKOKOTOO lilivyorindima Bungeni
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2023-08-29
Просмотров: 19138
Описание:
Sakata la Kikokotoo Cha watumishi bado halijapoa na sasa wabunge wanataka sheria ipelekwe bungeni wakafute kwani watumishi hawataki.
Leo Jumanne Agost 29,2023 katika kipindi cha maswali, idadi kubwa ya wabunge walisimama kuuliza maswali ya nyongeza wakilalamika kuhusu kikokotoo.
Swali la msingi limeulizwa na Mbunge wa Moshi Mjini (CCM) Priscus Tarimo amehoji nini mpango wa Serikali kuhusu malalamiko ya Wastaafu juu ya kikokotoo kinachotumika kupiga mahesabu na kulipa mafao.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: