BUNGE LAPITISHA NYONGEZA YA BAJETI YA SH. BILIONI 945.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025
Автор: Hazina TV - Wizara ya Fedha
Загружено: 2025-02-14
Просмотров: 860
Описание:
Bunge limepitisha nyongeza ya mapato na matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 945.7 kwa ajili ya kuongeza kwenye Bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25 kutoka shilingi trilioni 49.346 iliyoidhinishwa awali hadi shilingi trilioni 50.291.
Nyongeza hiyo imewasilishwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ambaye ameeleza kuwa fedha hizo zitakazotekeleza shughuli za sekta za elimu, afya utalii na program mbalimbali za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, zimepatikana kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF).
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: