ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

NIRC YAAHIDI MAJI YA UHAKIKA KWA UMWAGILIAJI JOBAJI

Автор: Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC)

Загружено: 2025-12-21

Просмотров: 20

Описание: 📍NIRC Karatu, Arusha.

Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imewaasa wakulima wa skimu ya Umwagiliaji Jobaji iliyopo wilayani Karatu Mkoani Arusha kuwa wastahamilivu, katika kipindi ambacho Serikali inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji katika Skimu hiyo.

Tume imesema ni wajibu wa serikali kuhakikisha wakulima wanapata maji ya kutosha ili kuwa na kilimo cha uhakika.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Uendeshaji Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bi. Salome Njau, wakati wa mafunzo ya Uendeshaji, Usimamizi na Matunzo ya skimu ikiwa ni utekelezaji Mradi wa Mifumo Himilivu ya Chakula nchini (TFSRP-P4R).

Amesema ni wajibu wa Serikali kuhakikisha mkulima anakuwa na uhakika wa Kilimo kwa kupata maji ya kutosha kumwagilia mazao.

Amesema licha Serikali kuendelea na ujenzi wa bwawa katika bonde la Eyasi, pia inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji, ili kuhakikisha inadhibiti upotevu wa maji, unaochangiwa na ubovu wa miundombinu pamoja na miundombinu ya asili, ambayo haijasakafiwa na kujengwa kitaalamu.

Amekiri kuwa changamoto inayowakabili wakulima wa skimu hiyo, kwa sasa ni ukosefu wa maji ya kutosha kufika mashambani kutokana na kutokuwa na miundombinu madhubuti inayopusha upotevu wa maji.

Amesema kwa kuwa Serikali inahakikisha wakulima wanapata maji ya kutosha mashambani, Tume inaendelea uchimbaji wa visima, vyenye uwezo wa kuchimba visima vyenye urefu zaidi mita 1000, hivyo itahakikisha kuwa mkulima anapata maji kwa uhakika.

Hata hivyo baadhi ya wakulima walioshiriki mafunzo ya Usimamizi, Uendeshaji na Matunzo ya skimu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya mgawanyo wa maji kutokana na kutokuwa na bwawa la kuvuna maji, pamoja na mifereji hafifu inayosababisha upotevu wa maji.

Wakulima hao Wameishukuru Serikali kwa kuwapatia mafunzo hayo, kwani awali walikuwa wanafanya shughuli za kilimo kienyeji na kwamba mafunzo hayo yatawasaidia kuilinda miundombinu dhidi ya uharibifu na itadumu kwa muda mrefu.


------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Tufuatilie kupitia mitadao yetu ya kijamii

Instagram: https://www.instagram.com/nirc_tz?igs...

Facebook: / tumeyaumwagi. .

XTwitter: https://x.com/nirc_tz?t=UoFluCQyTUnM4...

LinkeInn: / tume-ya-taifa-ya-umwagiliaji-national-irri...

_______________________________________________________________________

#01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1

National Irrigation Commission

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
NIRC YAAHIDI MAJI YA UHAKIKA KWA UMWAGILIAJI JOBAJI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI KATIKA MIKOA YA SHINYANGA, MWANZA

UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI KATIKA MIKOA YA SHINYANGA, MWANZA

HIGH PRESSURE WATER PUMP, KARIBU KWA MAHITAJI YA WATER PUMP ZA UHAKIKA, UWEZO MKUBWA 0779 618436

HIGH PRESSURE WATER PUMP, KARIBU KWA MAHITAJI YA WATER PUMP ZA UHAKIKA, UWEZO MKUBWA 0779 618436

ВСУ взяли под контроль территорию РФ / Использовано секретное оружие

ВСУ взяли под контроль территорию РФ / Использовано секретное оружие

UKWELI AMBAO HUKUWAHI KUELEZWA UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI NCHINI

UKWELI AMBAO HUKUWAHI KUELEZWA UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI NCHINI

ZAIDI YA HEKTA 33,947 ZA MASHAMBA KUMWAGILIWA KUSINI MWA TANZANIA

ZAIDI YA HEKTA 33,947 ZA MASHAMBA KUMWAGILIWA KUSINI MWA TANZANIA

NIRC NA JICA WASHIRIKIANA KUTOA ELIMU KWA  WAKULIMA UENDESHAJI NA MATUNZO YA SKIMU

NIRC NA JICA WASHIRIKIANA KUTOA ELIMU KWA WAKULIMA UENDESHAJI NA MATUNZO YA SKIMU

WAKULIMA WAASWA KUTUNGA SHERIA NDOGO KULINDA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

WAKULIMA WAASWA KUTUNGA SHERIA NDOGO KULINDA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

АВИЦЕННА ЗНАЛ: ПОЖИЛЫЕ, НЕ МОЙТЕСЬ ТАК! ЭТО КРАДЕТ ГОДЫ ЖИЗНИ!

АВИЦЕННА ЗНАЛ: ПОЖИЛЫЕ, НЕ МОЙТЕСЬ ТАК! ЭТО КРАДЕТ ГОДЫ ЖИЗНИ!

NIRC YASHIRIKI MAONESHO YA MTO MARA

NIRC YASHIRIKI MAONESHO YA MTO MARA

Jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Mwanza, upi mchoro bora?

Jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Mwanza, upi mchoro bora?

NIRC MBIONI UJENZI BWAWA LA KUVUNA MAJI YA UMWAGILIAJI BONDE LA EYASI

NIRC MBIONI UJENZI BWAWA LA KUVUNA MAJI YA UMWAGILIAJI BONDE LA EYASI

WAKULIMA WADOGO ZAIDI YA 700 KUNUFAIKA NA VISIMA VYA UMWAGILIAJI

WAKULIMA WADOGO ZAIDI YA 700 KUNUFAIKA NA VISIMA VYA UMWAGILIAJI

МОЙТЕ ЕЁ С СОЛЬЮ — И ОРГАНИЗМ ПЕРЕСТАНЕТ БОЛЕТЬ! - НАТАЛЬЯ БЕХТЕРЕВА

МОЙТЕ ЕЁ С СОЛЬЮ — И ОРГАНИЗМ ПЕРЕСТАНЕТ БОЛЕТЬ! - НАТАЛЬЯ БЕХТЕРЕВА

MAKALA MAALUM YA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA KIPINDI CHA MIAKA 3 YA RAIS SAMIA

MAKALA MAALUM YA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA KIPINDI CHA MIAKA 3 YA RAIS SAMIA

WAFUGAJI 100 WAPATA MAFUNZO YA UFUGAJI WA KISASA

WAFUGAJI 100 WAPATA MAFUNZO YA UFUGAJI WA KISASA

FURSA ZA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA

FURSA ZA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA

WAZIRI PALAMAGAMBA

WAZIRI PALAMAGAMBA "ASANTE RAIS SAMIA KWA KUNIFANYA NIAGE VYEMA SEKTA YA MICHEZO"

ЧТО ПИТЬ, Чтобы Быстро Улучшить Кровообращение В Ногах? После 60!

ЧТО ПИТЬ, Чтобы Быстро Улучшить Кровообращение В Ногах? После 60!

NIRC YAWEKA KAMBI  KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA

NIRC YAWEKA KAMBI KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA

WAAJIRIWA WAPYA NIRC, WASEMA WANA DENI KWA RAIS DKT. SAMIA, TUME YAWATAKA KUCHAPA KAZI

WAAJIRIWA WAPYA NIRC, WASEMA WANA DENI KWA RAIS DKT. SAMIA, TUME YAWATAKA KUCHAPA KAZI

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]