Rigathi Gachagua anasema marais wa Afrika Mashariki wanaambukizana tabia mbaya!
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2026-03-18
Просмотров: 7865
Описание: Cheche za maneno, mirengo mipya ya kisiasa na ubabe wa vyama tayari imeanza kusheheni nchini Kenya, miezi 14 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Miongoni mwa viongozi wanaogonga vichwa vya habari ni pamoja na aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aliyetimuliwa kazini miezi kadhaa iliyopita. Gachagua amekuwa akiendeleza kampeini ya kuunda muungano wa upinzani kwa nia ya kumng'oa madarakani Rais William Ruto. Gachagua amezungumza na BBC kuhusu azma yake ya kuwania urais... #DiraYaDuniaTV
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: