Maelfu ya wakazi wakimbia mashariki mwa DRC kutokana na mapigano ya waasi wa M23 na FARDC
Автор: VOA Swahili
Загружено: 2022-05-24
Просмотров: 27749
Описание:
DRC
Kibumba kilometa ishirini na tano kaskazini mwa Mji wa Goma maelfu ya wakaazi wa eneo hilo linalo patikana mpakani na Rwanda wote wamekimbia nyumba zao kutokana na mapigano kati ya M23 na jeshi la serikali ya Congo FARDC na kukimbilia Mjini Goma kwa miguu tangu leo asubui hadi Jioni Hii
Ukraine Economy Fallout Kenya.
Kutokana na vita inayoendelea nchini Ukraine, athari zake zimeonekana mpaka kwenye nchi mbali mbali za Afrika. VOA imeandaa Makala maalum tukizungumza na wachumi kutoka nchi mbali mbali kutambua ni namna gani nchi zao zimeathirika na mapigano haya kiuchumi. Hii leo tuelekee Kenya ambako tunazungumza na mchumi ken Gichiga.
Haiti gangs PKG
Mamia ya wananchi wa wanaendelea kukimbia makazi yao kutokana na mapigano kati ya mageni ya wahunui wanao hasimiana kwa wiki ya tatu katika mji mkuu wa Port au Prince. Huku magengi hayo yakikichukua udhibiti wa mitaa mbali mbali ya mji mkuu huo kwa kutumia nguvu na ukatili.
Kulingana na idara ya kulinda usalama wa raia ya Haiti vita hivyo kwa muda wa wiki mbili vimesababisha karibu vifo vya watu 10, darzeni kadhaa kujeruhiwa na maelfu kukimbia makazi yao.
Health MonkeyPox PKG
Leo katika Afya tunazungumzia virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Monkeypox. Karibu watu 100 wanashukiliwa kuwa wamekumbwa na ugonjwa huu katika nchi 10, nazo ni Italy, Uhispania, Ureno, Uingereza, Marekani, Canada, Australia, Ujerumani, Ubelgiji na Sweden, na kupelekea wasi wasi wa kuzuka janga jingine la pili.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: