BARABARA YA MSONGOLA – MBANDE KUKAMILIKA SEPTEMBA, 2024
Автор: Wizara ya Ujenzi
Загружено: 2024-04-23
Просмотров: 599
Описание:
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema kuwa kwa sasa Serikali inaendelea na ujenzi wa barabara ya Chanika – Mbagala Rangi Tatu kipande cha kilometa 3.8 kwa kiwango cha lami ambao unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba, 2024.
Hayo yamesemwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri huyo wakati akijibu Swali la Mbunge wa Mbagala, Mheshimiwa Abdallah Jafar Chaurembo, aliyehoji lini Serikali itamaliza ujenzi wa barabara kipande cha kilometa 5 kuanzia Mbande hadi Msongole.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: