Vifo vya mafuriko: watu 7 wapoteza maisha Makueni
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-03-05
Просмотров: 1392
Описание: Watu saba wamekufa maji kaunti ya Makueni katika muda wa majuma mawili yaliyopita, kutokana na mvua kubwa ambayo imekuwa ikinyesha eneo hilo. Mvua hii pia ikisababisha uharibifu mkubwa wa nyumba katika vijiji mbalimbali vya Makueni. Wa punde zaidi akiwa mwanamume aliyesombwa alipokuwa akivuka mto eneo la Kaiti. Michael Mutinda anatujuza zaidi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: