WAZIRI MKUU ATOA NENO KUHUSU BANDARI YA TANGA
Автор: KASACO MEDIA (K.T.S)
Загружено: 2026-02-16
Просмотров: 35
Описание:
WAZIRI MKUU ATOA NENO KUHUSU BANDARI YA TANGA
Mapema leo, Waziri Mkuu alitembelea bandari ya Tanga na kukagua shughuli za bandari hiyo na kisha kuzungumza na watumishi.
Akiwa bandarini hapo, alipokea maelezo ya uboreshaji wa bandari hiyo kisha akatembelea eneo ambalo zitajengwa gati mbili mpya, katika bandari ya Tanga ikiwa ni mkakati wa Serikali ya kuiongezea uwezo bandari ya Tanga wa kutoa huduma shindani na za ufanisi.
Akizungumza na watumishi wa bandari ya Tanga, Waziri Mkuu aliahidi kwamba Serikali itahakikisha inaendelea kufanyia kazi changamoto zote za kiutumishi zinazowahusu watumishi hao.
“Serikali itaendelea kufanya maboresho katika bandari hii ili iweze kuhudumia idadi ya meli nyingi kwa kadiri inavyowezekana. Tunatambua ushindani wa kibiashara uliopo lakini tutaendelea kufanya maboresho ili tunufaike na nafasi ya kijiografia ya mkoa wetu,” alisema.
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉
/ @kasacomedia
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA SWALI AU JAMBO LOLOTE?
⚫️ WASILIANA NA KASAKO MEDIA : ( +255 761984534 )| Kimataifa: +1 317-519-5285
⚫️ Email: [email protected] | [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW
⚫️ Kwa UPDATES zaidi,Subcribe kasako media
⚫️ Youtube / @kasacomedia
Project on the lives of artist and more|
@Kashindi Msambilwa| CEO/FOUNDER
@Sangani Fikiri. | CEO/FOUNDER
@Jerome Bucuma Paul | General Manager
@Richard Wakona | General Manager
@Emmy Joel Mwaipopo | Program Manager
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: