“Tanzania Ilikuwa Kijiji Chetu!” – Baada ya Zambia, Wakenya Wawakalia Watanzania Koho!
Автор: MIZUKA MEDIA
Загружено: 2025-08-19
Просмотров: 31276
Описание:
Baada ya Harambee Stars kuibuka na ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Zambia pale Kasarani Stadium, badala ya kusherehekea tu ushindi huu muhimu, Wakenya waligeuka ghafla na kuanza kuwasha moto mkubwa wa maneno dhidi ya majirani zao Watanzania. 🇰🇪🔥🇹🇿
Kwenye video hii tumekusogezea maoni ya mashabiki na content creators wa Kenya waliotoa kauli kali kuhusu Taifa Stars na mchezo ujao dhidi ya Morocco, huku wengine wakidai Tanzania “ilipata tiketi ya bure” kuingia hatua hii.
Lakini swali kubwa linabaki: Je, rivalry ya mpira kati ya Kenya na Tanzania ni ya kweli, au ni drama tu za mashabiki kupandisha joto mtandaoni? Tazama video hii hadi mwisho uone kila kilichosemwa, na utuambie maoni yako!
👉 Usisahau kufollow, ku-like na ku-subscribe kupata taarifa zote moto za muziki, michezo, wanasiasa na lifestyle kutoka Kenya, Tanzania na Afrika Mashariki nzima pamoja na diaspora.
#KenyaVsTanzania #HarambeeStars #TaifaStars #Kasarani #KenyaVsZambia #EastAfricanFootball
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: