Vyakula hatari zaidi kwa kuku
Автор: KingoFarm
Загружено: 2025-11-21
Просмотров: 1387
Описание:
Katika video hii nimekufundisha vyakula 10 hatari kwa kuku vinavyosababisha vifo, kupunguza mayai, na kuchelewesha ukuaji wa vifaranga.
Wafugaji wengi hupoteza kuku bila kujua kuwa chanzo ni vyakula wanavyotoa kila siku!
Utajifunza:
✔️ Vyakula vinavyosababisha sumu kwa kuku
✔️ Vitu vinavyosababisha kuharisha na magonjwa ya ndani
✔️ Vyakula vilivyokatazwa kwa kuku wa mayai na broiler
✔️ Jinsi ya kuzuia sumu kwenye chakula cha kuku
✔️ Namna ya kuwalinda vifaranga dhidi ya sumu kuvu
Ikiwa unataka kuku wenye afya, ukuaji wa haraka na mayai mengi, basi lazima ujue na kuepuka vyakula hivi hatari.
---
JOIN GROUP
Jiunge na kundi la KingoFarm kupata elimu ya kila siku kuhusu tiba asili na ufugaji bora wa kuku.
Ada: Tsh 8,000 / miezi 2
WhatsApp: 0712 188 239
---
BUY eBOOK
eBook: “Tiba Asilia za Kuku” – Tsh 10,000
Inajumuisha mchanganyiko 35+ wa kutibu na kuzuia magonjwa yote ya kuku.
---
HASHTAGS
#KingoFarm #UfugajiWaKuku #TibaAsilia #VyakulaHatariKwaKuku #MafanikioKwaWafugaji #KukuBora #KukuWaMayai #Broiler #Vifaranga #PoultryFarming #NaturalRemedies #ElimuYaUfugaji #KingaYaKuku #KukuWakutaga
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: