TUME YA MADINI TV
Автор: Tume ya Madini
Загружено: 2026-01-23
Просмотров: 35
Описание:
WAZIRI MAVUNDE KUWACHUKULIA HATUA MAAFISA MADINI WANAOSABABISHA MIGOGORO
Dodoma
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa ambao ofisi zao zitabainika kuhusika au kusababisha migogoro katika shughuli za uchimbaji wa madini, akisisitiza ulazima wa kuzingatia kikamilifu Sheria na Kanuni za Madini katika utekelezaji wa majukumu yao.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: