ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

BASHUNGWA AMBANA MBAVU MKANDARASI AVIC

Автор: PHD ONLINE TV

Загружено: 2024-01-22

Просмотров: 82

Описание: BASHUNGWA AMBANA MKANDARASI AVIC, ATOA WIKI TATU MITAMBO NA WATALAAM KUFIKA ‘SITE’

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wiki tatu kwa Mkandarasi wa kampuni ya China National Aero-Technology International Engineering Corporation (AVIC) anayetekeleza ujenzi wa barabara ya Isyonje - Kitondo - Makete sehemu ya Kitulo - Iniho (km36.3) kwa kiwango cha lami kufikisha vifaa, mitambo na wataalamu wote katika eneo la mradi ili kazi ifanyike kwa haraka.

Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo leo Januari 22, 2024 wilayani Makete mkoani Njombe katika ziara ya kikazi na kukagua utekelezaji wa mradi huo ambao upo nyuma kwa mujibu wa mkataba.

“Natoa wiki tatu kuanzia sasa vifaa na mitambo yote inayohitajika pamoja na wataalaam wa usimamizi wa mradi wawe hapa, hawa wananchi hawawezi kusubiri wataalamu wapo likizo China wakati sisi shida yetu ni barabara”, amesema Bashungwa.

Aidha, Bashungwa ameahidi kuendelea kushughulika na Wakandarasi ambao wanasuasua katika utekelezaji wa miradi na wanaofanya kazi kinyume na mikataba

“Tunaposaini mikataba, nataka mikataba isimamiwe, namuagiza Mtendaji Mkuu wa TANROADS kusimamia kitengo kinachoshughulikia mikataba na kama wameshindwa kufanya kazi basi fukuzeni wote”, amesisitiza Bashungwa.

Kadhalika Bashungwa ameutaka Wakala wa Barabara (TANROADS) kumsimamia Mkandarasi huyo kwa karibu na kuhakikisha anafanya kazi usiku na mchana.

Ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta Bilioni 82 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo kutokana na umuhimu wa wananchi wa Wilaya ya Makete na Mkoa wa Njombe katika kuleta maendeleo na kuinua uchumi wa wananchi.

Aidha, Bashungwa ameeleza kuwa amepokea maombi ya kuunganisha Wilaya ya Makete na Busokelo mkoani Mbeya na tayari usanifu unakwenda kuanza kwa ajili ya ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha changarawe.

Naye, Mbunge wa Makete, Festo Sanga ameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kwani ni kiungo muhimu kiuchumi kati ya mkoa wa Njombe na Mbeya

Akitoa taarifa ya mradi, Kaimu Mkurugenzi wa Miradi kutoka TANROADS, Mhandisi Jephason Nko, ameeleza kuwa mradi huo mpaka sasa umefikia asilimia 4.2 ambapo unasimamiwa na Kitengo cha TECU kutoka wakala huo huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Julai 2026

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
BASHUNGWA AMBANA MBAVU MKANDARASI AVIC

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Mkandarasi Makete awekwa kikaangoni / apewa wiki 3.

Mkandarasi Makete awekwa kikaangoni / apewa wiki 3.

SZALONA KOŃCÓWKA, YAMAL W OSTATNIEJ SEKUNDZIE! NEWCASTLE - FC BARCELONA, SKRÓT MECZU

SZALONA KOŃCÓWKA, YAMAL W OSTATNIEJ SEKUNDZIE! NEWCASTLE - FC BARCELONA, SKRÓT MECZU

Drony nad Dubajem, statki w płomieniach. Konflikt eskaluje

Drony nad Dubajem, statki w płomieniach. Konflikt eskaluje

Sifuna Educates Ole Kina and Mungatana  as Useless Sycophants who Clapped to Ruto Lies!!

Sifuna Educates Ole Kina and Mungatana as Useless Sycophants who Clapped to Ruto Lies!!

LISTEN: 'We Will NEVER Stop Asking For MORE' Anyang' Nyong'o INSPIRING Speech To President Ruto

LISTEN: 'We Will NEVER Stop Asking For MORE' Anyang' Nyong'o INSPIRING Speech To President Ruto

KAYA 15 ZAKOSA MAKAZI KITEGA – SONGAMBELE BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO

KAYA 15 ZAKOSA MAKAZI KITEGA – SONGAMBELE BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO

FESTIWAL BRAMEK, PARADA POMYŁEK! KOSZMAR BRAMKARZA SPURS! ATLETICO – TOTTENHAM, SKRÓT MECZU

FESTIWAL BRAMEK, PARADA POMYŁEK! KOSZMAR BRAMKARZA SPURS! ATLETICO – TOTTENHAM, SKRÓT MECZU

Le FONER inspecte 30 ponts en cours de construction dans le cadre du projet 100 ponts

Le FONER inspecte 30 ponts en cours de construction dans le cadre du projet 100 ponts

Prof. Góralczyk o wojnie w Iranie: Putin już się czuje wygrany, sytuacja w Ukrainie dramatyczna

Prof. Góralczyk o wojnie w Iranie: Putin już się czuje wygrany, sytuacja w Ukrainie dramatyczna

BURZA W SEJMIE NA POCZĄTKU POSIEDZENIA!

BURZA W SEJMIE NA POCZĄTKU POSIEDZENIA!

PILNE: Szef NBP o finansowaniu zbrojeń. „Atak na Iran zmienił wszystko”

PILNE: Szef NBP o finansowaniu zbrojeń. „Atak na Iran zmienił wszystko”

Prof. Andrew Michta: Czy wojna z Iranem pomoże Rosji i zaszkodzi Ukrainie? USA wpadły w pułapkę?

Prof. Andrew Michta: Czy wojna z Iranem pomoże Rosji i zaszkodzi Ukrainie? USA wpadły w pułapkę?

Mwenyekiti wa Bodi ya TISEZA~Balozi Dr. Azizi Mlima

Mwenyekiti wa Bodi ya TISEZA~Balozi Dr. Azizi Mlima

EBY'OBUHEREZA OMURI MPONDWE TOWN COUNCIL

EBY'OBUHEREZA OMURI MPONDWE TOWN COUNCIL

Nyabihu-Ubwo Abadepite basuraga ibikorwa by'iterambere.

Nyabihu-Ubwo Abadepite basuraga ibikorwa by'iterambere.

Złoto Orlenu i NBP kluczem do zbrojeń? Obajtek: Kupiliśmy tanio, dziś to fortuna!

Złoto Orlenu i NBP kluczem do zbrojeń? Obajtek: Kupiliśmy tanio, dziś to fortuna!

"Mogą ominąć weto prezydenta, złamią konstytucję". Bosak o dyskusji ws. SAFE

MASWALI NA MAJIBU

MASWALI NA MAJIBU

Awantura w Sejmie. Czarzasty kontra Czarnek #sejm #polityka #wiadomości

Awantura w Sejmie. Czarzasty kontra Czarnek #sejm #polityka #wiadomości

Przejścia nie ma

Przejścia nie ma

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]