ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

RAIS SAMIA AHIMIZA USHIRIKIANO KUINUA TASNIA YA KAHAWA AFRIKA

Автор: MFA_Tanzania

Загружено: 2025-02-22

Просмотров: 178

Описание: • Aahidi kuongeza bajeti ya kuendeleza sekta kilimo nchini
• Serikali kuongeza jitihada za kuongeza wigo wa soko la kahawa nje ya nchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezisihi nchi za Afrika zinazozalisha kahawa kushirikiana ili kukuza soko la kahawa na kufungua fursa za ajira kwa vijana barani Afrika.

Rais Samia ametoa rai hiyo alipozungumza katika Mkutano wa Tatu wa G25 wa Wakuu wa Nchi za Afrika zinazozalisha Kahawa uliofanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Rais Samia amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kununua kahawa ya Afrika baada ya kuwa imeongezewa thamani kwa lengo la kukuza biashara ya kahawa miongoni mwa nchi za Afrika na hivyo kuimarisha sekta ya kahawa barani Afrika.

Mkutano huo, ulioendeshwa chini ya kaulimbiu isemayo "Kufungua Fursa za Ajira kwa Vijana Kupitia Uendelezaji wa Sekta ya Kahawa Afrika," uliwaleta pamoja viongozi kutoka nchi 25 za Afrika zinazozalisha kahawa, wataalamu wa sekta ya kahawa na wawekezaji ili kujadili njia za kufufua sekta ya kahawa barani Afrika.

Rais Samia amesisitiza dhamira ya Tanzania ya kuongeza uzalishaji wa kahawa, kukuza biashara ya kahawa, kuongeza mnyororo wa thamani wa zao la kahawa na hivyo kukidhi mahitaji ya soko.

Amesisitiza pia umuhimu wa kutokusafirisha kusafirisha kahawa ghafi na kuwekeza katika viwanda vya usindikaji wa ndani ili kuongeza mapato na kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania. "Lazima tukubaliane hapa, kahawa inayozalishwa Afrika inapaswa kusindikwa hapa hapa Afrika na kisha iuzwe nje ya bara hili, kuendelea kusafirisha kahawa ghafi ni kuuza ajira ya vijana wa Afrika nje ya bara, kuua soko la Kahawa na kuua mioyo ya wakulima kwani hawaoni manufaa ya kazi zao," alisema.

"Afrika inazalisha baadhi ya kahawa bora zaidi duniani, lakini bado tunabaki kuwa wauzaji wakuu wa Kahawa ghafi. Tunapaswa kubadilisha hali hii kwa kuhakikisha kahawa inayozalishwa Afrika inaongezwa thamani hapa hapa katika bara la Afrika, na kuimarisha biashara ya kikanda, na ndipo iuzwe nje ya bara la Afrika" amesisitiza.

Rais Samia pia ameeleza kuwa ushirikishwaji wa vijana katika sekta ya kahawa ni muhimu ili kuendeleza sekta hiyo na alizihimiza nchi za Afrika na wadau wa sekta hiyo kuwekeza katika programu za mafunzo, kutoa pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa kuwapa miche ya kahawa, mbolea na dawa za kuua wadudu pamoja na mbinu za kilimo za kisasa ili kuvutia vijana katika kilimo cha kahawa na usindikaji.

Rais Samia amesema kuna haja ya kuifanya Afrika kuwa soko kubwa la kahawa kwa kuhakikisha Kahawa inalimwa kwa wingi na kusindikwa barani Afrika.

Amesema Tanzania itaenda kutafuta soko la Kahawa iliyosindikwa ya Tanzania kwa mataifa mengine kama ya kutoka Mashariki ya Kati ambao alisema ni miongoni mwa watumiaji wakubwa wa kahawa duniani.

Alizisihi nchi za Afrika kukukubaliana kupitia Azimio la Dar es Salaam kuhusu Kahwa ambalo alisema kuwa linapaswa kuonyesha njia watakayoitumia nchi za Afrika ili kuwa soko kubwa la kahawa Duniani na jinsi watakavyofikia hatua hiyo na kuongeza kuwa uwepo wa soko la uhakika ndio jambo lka msingi.

Amesema Tanzania inalenga kuongeza uzalishaji na ubora wa kahawa ili kukidhi mahitaji ya soko la kimataifa, kwa kuwawezesha vijana kushiriki katika kilimo kwa kuwapa miche na ruzuku ya mbolea. Aliongeza kuwa kwa kufanya hivyo tutakuza soko la kahawa na kuvutia vijana.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
RAIS SAMIA AHIMIZA USHIRIKIANO KUINUA TASNIA YA KAHAWA AFRIKA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

TANZANIA NA MISRI KUKUZA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI

TANZANIA NA MISRI KUKUZA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI

SERIKALI YAFANIKIWA KUWARUDISHA WATANZANIA WENGINE 13 KUTOKA NCHINI IRAN.

SERIKALI YAFANIKIWA KUWARUDISHA WATANZANIA WENGINE 13 KUTOKA NCHINI IRAN.

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

Mkulima wa kahawa akisifu mbolea bora za Yara kwa uzalishaji wa mavuno mengi.

Mkulima wa kahawa akisifu mbolea bora za Yara kwa uzalishaji wa mavuno mengi.

KIJANA ALIYEPIGWA RISASI OKTOBA 29 AKABIDHIWA BAJAJI NA MGUU WA BANDIA, AONGEA KWA MACHUNGU

KIJANA ALIYEPIGWA RISASI OKTOBA 29 AKABIDHIWA BAJAJI NA MGUU WA BANDIA, AONGEA KWA MACHUNGU

MABALOZI KUVINADI VIVUTIO VYA UTALII TANZANIA - NAIBU KATIBU MKUU SHAIBU MUSA

MABALOZI KUVINADI VIVUTIO VYA UTALII TANZANIA - NAIBU KATIBU MKUU SHAIBU MUSA

Full length Panel Discussion Dialogue on the Bamako Convention Regional Clearing House Mechanism CHM

Full length Panel Discussion Dialogue on the Bamako Convention Regional Clearing House Mechanism CHM

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

RAIS WA AfDB AMALIZA ZIARA YA SIKU 4 NCHINI TANZANIA

RAIS WA AfDB AMALIZA ZIARA YA SIKU 4 NCHINI TANZANIA

NAIBU WAZIRI LONDO AKICHANGIA HOJA BUNGENI DODOMA

NAIBU WAZIRI LONDO AKICHANGIA HOJA BUNGENI DODOMA

NAIBU WAZIRI LONDO APOKEA NAKALA ZA HATI ZA MABALOZI KUTOKA EQUATORIAL GUINEA, KAZAKHSTAN NA TUNISIA

NAIBU WAZIRI LONDO APOKEA NAKALA ZA HATI ZA MABALOZI KUTOKA EQUATORIAL GUINEA, KAZAKHSTAN NA TUNISIA

UZINDUZI WA SERA YA MAMBO YA NJE 2001, TOLEO LA MWAKA 2024 - DAR ES SALAAM, TANZANIA

UZINDUZI WA SERA YA MAMBO YA NJE 2001, TOLEO LA MWAKA 2024 - DAR ES SALAAM, TANZANIA

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mheshimiwa Wang Yi alivyowasili jijini Dar es Salaam Januari 09,2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mheshimiwa Wang Yi alivyowasili jijini Dar es Salaam Januari 09,2026

WAZIRI MHE. KOMBO AKIZUNGUMZIA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI LA SIASA, ULINZI NA USALAMA

WAZIRI MHE. KOMBO AKIZUNGUMZIA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI LA SIASA, ULINZI NA USALAMA

MAIMARTHA AYAMWAGA MAPYA YA WEMA SEPETU  BAADA YA KUKATAA DILI LA MILIONI 10 /JUMA LOKOLE MNAFKI

MAIMARTHA AYAMWAGA MAPYA YA WEMA SEPETU BAADA YA KUKATAA DILI LA MILIONI 10 /JUMA LOKOLE MNAFKI

Kim był Jan Kulczyk z pochodzenia? Sekret najbogatszego Polaka!

Kim był Jan Kulczyk z pochodzenia? Sekret najbogatszego Polaka!

HECHE AMJIBU MBOWE SAKATA LA CHADEMA KUONGOZA MSIBA,SWALI NZITO RAIS SAMIA KUJA KWA MZEE MTEI.

HECHE AMJIBU MBOWE SAKATA LA CHADEMA KUONGOZA MSIBA,SWALI NZITO RAIS SAMIA KUJA KWA MZEE MTEI.

#TBC: KIKAO KAZI KUJADILI BIMA YA AFYA KWA WOTE

#TBC: KIKAO KAZI KUJADILI BIMA YA AFYA KWA WOTE

Почему союз НЕ ВЗЯЛ эти 3 страны? Сталин сказал «НЕТ»

Почему союз НЕ ВЗЯЛ эти 3 страны? Сталин сказал «НЕТ»

Путин резко меняет тактику / Впервые применено секретное оружие

Путин резко меняет тактику / Впервые применено секретное оружие

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]